Asili ya Msegeju /The Origions of Segeju : A talk with Segeju and Digo elders

Habari marafiki,

Kuna jambo lengine nataka kuwashirikisha nalo ni haya majadiliano kuhusu asili ya Wasegeju, maingiliano kati ya Wadigo na Wasegeju, Utani kati ya Wazaramo , Wadigo na Wasegeju. Ni majadiliano kati ya vijana, na wazee. Kwenye mahojiano haya nazungumza na Bi Tajiri ya Bondo na Mzee Ali ya Asuaka mjini Tanga, Tanzania mwezi wa sita mwaka 2005. Kama nilivyosema hapo awali azma yangu kwanza ni kushirikiana kazi tuliofanya Aang Serian na kuwasaidia watu wengi wanaofanya kazi katika masuala ya historia ya makabila, elimu ya asili, taasisi, na masuala ya lugha. Basi karibu msikilize hii taarifa tuliowaandalia hapa.

Buying fresh caught fish in Tanga, Tanzania summer 2007

Buying fresh caught fish in Tanga, Tanzania summer 2007

Asante,
Mohamed Yunus

Greetings,

I want to share with you these recordings that I have been doing since 1993 on issues of indigenous knowledge, cultural history, language preservation and research,political systems and traditional medicine. In this particular recording, I am speaking with two elders Bi Tajiri ya bondo (Digo) and Mzee Ali ya Asuwaka (Segeju) about the origins of the Segeju, joking relationships between Segeju,Zaramo and Digo, and cultural contacts between Arabia and East Africa. I would like readers to first gain knowledge about this Tanzanian history and secondly, stimulate research on these matters. This information is extremely rare to access. I hope this assists us in rediscovering our past and reflecting how we can use this history, of course in building confidence and identity, but also to use it as analytical framework to question contemporary issues. Dive in and enjoy the conversations.

Mazungumzo na Wazee/ A talk with Elders
Kipande hichi ni kuhusu harusi ya Wasegeju ni namna gani wachumba walikutana, na ni namna gani wazee na jamii nzima inahusika katika kuwaleta wapendao pamoja. This segment is how marriage is conducted among the Segeju and the whole proceess of negociation between the two families and the role of mshenga, the person who goes to announce the intentions of the boy

Mashairi ya Kuimbana ilikuwa ni njia moja ya jamii kuelezea na kuchambua matatizo yake ya kijamii. Haya yalikuwa ni mashairi yalioundwa kwa ustadi wa juu kwa kutumia mafumbo,misemo, na vitendawili ili kufikisha ujumbe wake. Haya mazungumzo ni kuhusu mfano wa taasisi hii ya mashairi ya kuimbana kutoka kijiji cha Mnyanjani, Tanga Tanzania. Wazee wanasema haya mashairi yametoka miaka ya arobaini.
Mashairi ya Kuimbana was a popular way of airing of grievances among the communities of the coast. These poems were crafted cleverly employing sayings,proverbs,metaphors and double-language to critique and comment on issues about social relations and identity. This is an example of such an institution that was found in Mnyanjani village, Tanga Tanzania. The estimated years are 1940s.
Kipande cha kwanza:


Kiande cha pili:

Asili ya Wasegeju ni jambo lenye matata mengi mpaka sasa, majadiliano bado yanaendelea haya ni mazungumzo kuhusu nani ni Msegeju na ametokea sehemu gani.
The issue of Segeju identity is an issue that has received a lot debates. This is a discussion about who is a Segeju and where is he/she from. The speakers also touch on the relationship between the Digos and Segeju and suggests that a Segeju is a Digo and not a different group. Listen for more details:

Natumai umepata mawili matatu kutokana na haya mazungumzo na utaweza kufanya utafiti wako
I hope you enjoyed these conversations and that they have inspired you to do your own research,

Mohamed Yunus Rafiq

Advertisement

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out / Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out / Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out / Change )

Connecting to %s

Follow

Get every new post delivered to your Inbox.